1.Utangulizi
- Jina na anwani ya biashara.
- Jina na anwani ya mmiliki.
- Asili ya biashara.
- Maelezo ya kifedha(statment of financing needed)
2 .Muhtasari wa biashara nzima(complete summary of your bisiness).
3. Uchambuzi wa sekta ya biashara yako inakoenda(industry analysis)..
- Matazamio ya mbali na mwenendo wa sekta.
- Uchambuzi wa wapinzani wako katika biashara(analysis of competetors).
- Uawaji wa soko lako(marketing segmentation).
- Mfano; soko lako ni lipi (wototo, vijana, wazee nk
- Utabiri wa sekta(industry forecast)
4.Uchanganuzi wa biashara yako.(description of venture)
- Bidhaa
- Huduma
- Ukubwa wa biashara
- Mashine za ofisi na wafanyakazi
- Maelezo ya mjasilia mali( background of entrepreneur)
5.Pangalia juu ya uzalishaji wako
- Mashine na vyombo vitakavyotumika katika uzalishaji
- Majina ya watakaokupati/kuuzia malighafi kwa ajili ya ualishaji wako
6.Masoko.
- Bei
- Usambazaji
- Matangazo
- Wateja(customers).
7.Pangalia jinsi biashara yailivyo
- Nani mmiliki wa biashara.
- Utambulisho wa washikadau wakubwa.
8.Tathimini mapungufu ya biashara yako.
- Zingatia mabadilikoa ya teknolojia
9.Pangilia mfumo wa kifedha
- Tabili utaingiza kiasi gani?
- Kiasi cha bidhaa kitakacho rudisha gharama zako za uzalishaji{ break even analysis}
KARIBUNI WADAU WOTE WA BIASHARA, KILIMO, MIFUGO ,LISHE NA USHAURI.
KWA MAWASILIANO PIGA No; 0713921703/2
email:mtoimathias@rocketmail.com or mwinga21@yahoo.com