Sunday, April 17, 2011

JINSI YA KUANZISHA BISHARA/MRADI( SOUND BUSINESS PLAN SHOULD CONTAIN THE FOLLOWING)

1.Utangulizi
  •     Jina na anwani ya biashara.
  •     Jina na anwani ya mmiliki.
  •     Asili ya biashara.
  •    Maelezo ya kifedha(statment of financing needed)
2 .Muhtasari wa biashara nzima(complete summary of your bisiness).
3.  Uchambuzi wa sekta ya biashara yako inakoenda(industry analysis)..
  •      Matazamio ya mbali na mwenendo wa sekta.
  •      Uchambuzi wa wapinzani wako katika biashara(analysis of competetors).
  •      Uawaji wa soko lako(marketing segmentation).
  •      Mfano; soko lako ni lipi (wototo, vijana, wazee nk
  •     Utabiri wa sekta(industry forecast)
4.Uchanganuzi wa biashara yako.(description of venture)
  •      Bidhaa
  •     Huduma
  •     Ukubwa wa biashara
  •     Mashine za ofisi na wafanyakazi
  •     Maelezo ya mjasilia mali( background of entrepreneur)
5.Pangalia juu ya uzalishaji wako
  •    Mashine na vyombo vitakavyotumika katika uzalishaji
  •    Majina ya watakaokupati/kuuzia malighafi kwa ajili ya ualishaji wako
6.Masoko.
  •       Bei
  •      Usambazaji
  •      Matangazo
  •      Wateja(customers).    
         

7.Pangalia jinsi biashara yailivyo
  •    Nani mmiliki wa biashara.
  •    Utambulisho wa washikadau wakubwa.
8.Tathimini mapungufu ya biashara yako.
  •     Zingatia mabadilikoa ya teknolojia
 9.Pangilia mfumo wa kifedha 
  •      Tabili utaingiza kiasi gani?
  •     Kiasi cha bidhaa kitakacho rudisha gharama zako za uzalishaji{ break even analysis}
  KARIBUNI WADAU WOTE WA BIASHARA, KILIMO, MIFUGO ,LISHE NA USHAURI.
 KWA MAWASILIANO PIGA No; 0713921703/2
 email:mtoimathias@rocketmail.com or mwinga21@yahoo.com
 

No comments:

Post a Comment